pmbet

ZIJUE SHERIA ZA TALIBAN KWA WANAUME: Marufuku kuvaa Tai, kunyoa panki au kunyoa ndevu

Eric Buyanza

August 31, 2024
Share :

Sheria hizi mpya ni maalum kwa wanaume

* Sasa wanaume wanatakiwa kufunika miili yao kuanzia kwenye kitovu hadi magotini wakiwa nje ya nyumba zao, kwani sehemu hizi za mwili huchukuliwa kuwa ni 'awrah' yaani (Utupu).

* Wanaume hawaruhusiwi kutengeneza nywele zao (kunyoa style) kwa njia ambayo ni kinyume na sharia.

* Taliban imepiga marufuku vinyozi katika majimbo kadhaa kunyoa au kupunguza ndevu, kwa madai kwamba amri hii inaambatana na sharia.

* Sheria ya maadili pia inakataza wanaume kuvaa tai.

pmbet
pmbet

Leagues standings

Tanzania Premier League
pmbet
pmbet